| Mfanyabiashara
Raia wa Kichina, Huifang Ma akiwa chini ya ulinzi wa Polisi katika
Mahakama ya mwanzo Ilala jijini Dar es Salaam jana kwa tuhuma za kukwepa
kulipa kodi. Picha na Venance Nestory |
Jun na Ma, ambao wote ni wafanyabiashara na wakazi wa Mtaa wa Narung’ombe eneo la Kariakoo wanakabiliwa na kushindwa kutumia mashine za EFDs pamoja na kushindwa kujisajili katika kodi ya ongezeko la Thamani(Vat) wakati wakijua kufanya hivyo ni kinyume cha sheria.
No comments:
Post a Comment